MAIMATHA AFUNGA PINGU ZA MAISHA
Mtangazaji maarufu wa TBC television ya taifa Maimatha wa Jesse juzi alifunga pingu za maisha na kutoka katika chama cha ukapera na kuingia katika maisha ya ndoa sherehe iliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Vip, Tunawatakia maisha mema katika maisha yenu mapya muwe wavumilivu katika shida na raha katika kuijenga familia yenu Mungu yuko nyuma yenu katika ndoa yenu hivyo msimuweke kando siku zenu zote za maisha yenu
Wageni waalikwa wakifuatilia jambo lililokuwalikiendelea siku hiyo iliojaa mastaa kibao wa nchini Tanzania
Flowerrrrrrrrs
Wakati wa burudani ulifika na mwanamuziki wa taarabu Dada yetu Hadija
Kopa alitumbuiza katika harusi na kuleta burudani ya aina yake
Penny na Kajala Masanja kulia
Penny
Kajala
Sajenti
Wamependeza jamani
Mainda
Hadija Kopa akifanya mambo yake
Hatariiiiii mwanamke nyonga shepu majaliwa
Flower
Kama kawaida ya madada zetu bize na simu
Picha ya kumbukumbu
Pamoja tunawakilisha
No comments:
Post a Comment