
Akizungumza tulipomtembelea gerezani hapo wikiendi iliyopita, Tiff alisema kuwa anashangazwa na watu ambao anawaheshimu kuwa ni shemeji zake na ni marafiki wa mkewe lakini wamekuwa wakipepeta umbeya juu ya ndoa yake ili tu ivunjike.
“Aisee inauma sana, lakini Jack hasisikilize maneno ya watu. Akumbuke tumetoka mbali na enzi ya kula bata kwani mimi nikikumbuka kuna wakati natokwa machozi na ukweli ni kwamba siwezi kukubali ndoa yangu ivunjike,” alisema Tiff.
No comments:
Post a Comment