SARAH K LISEME SONG

Sunday, December 25, 2011

IBADA YA KRISMASS KATIKA KANISA KATOLIKI (ST.JOSEPH) DAR

   Kanisa la Mt.Joseph makao makuu ya jimbo kuu la Dar es salaam.

   Wakati wa misa
   JUU;Kardinali Pengo akielekea kanisani kwa ajili ya kujiandaa na ibada ya misa akisindikizwa na paroko wa St Joseph Pd.Makubi na Paroko msaidizi Pd.Kigomba. CHINI; Wanakwaya wakiimba wakati wa misa

                                                  Waziri Membe akiwasili kanisani na akiwa katika ibada leo St.Joseph
 Kardinali Pengo(mwenye kofia )na mapadri wakati wa misa

       Baadhi ya umati wa waumini wakiwa katika misa takatifu
                                                      Matangazo haya mawili yamewekwa kanisani kwa sababu maalum
                                                                                              
  Kardinali Pengo akitoa mahubiri katika kiti cha askofu (cathedral) leo wakati wa misa ya krismass,alikosaidiwa na mapadri kadhaa wa jimbo kuu la Dar es salaam.
Mdau wa Mjengwablog

No comments:

Post a Comment